iqna

IQNA

Marzieh Hashemi
Katika mahojiano ya kwanza tokea aachiliwe huru
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema waliowengi nchini humo wataunga mkono mfumo wa utawala wa Kiislamu iwapo watapewa hiari ya kuchagua.
Habari ID: 3474360    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Hatimaye utawala wa Marekani umelazimika kumuachulia huru bila kumfugulia mashtaka mtangazaji wa Press TV, Bi. Marzieh Hashemi baada ya kumshikilia kizuizini kinyume cha sheria kwa muda wa siku 11.
Habari ID: 3471818    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/24

TEHRAN (IQNA)-Maafisa wa usalama wa Marekani wamemkamata mtangazaji mashuhuri wa Televisheni ya Press TV Bi. Marzieh Hashemi ambapo wamemvua hijabu yake na kumlisha nyama ya nguruwe.
Habari ID: 3471809    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/17